Tuesday 15 September 2009

Big Brother Revolution,Women in the House Now!

Women ar nw in the house for about 4days now.Men in the house waited women for a long bt now women are there in the house.The bad thng is that Big Brother has not yet put them together rendering men in the house unaware of the presence of a number of women to the same house. U knw what??
Keep it Rock guyz!!

Monday 6 July 2009

BREAKING NEWS!!!

Habari zilizonifikia muda si mrefu zinasema kwamba raisi wa wanafunzi chuo kikuu Tumaini Iringa anafukuzwa chuo kutokana na pingamizi aliloweka baada ya kupanda kwa ada chuoni hapo.Chuo hicho kimeongeza ada kwa njia ya ujanja ujanja ambapo ongezeko hilo linatufanya wanafunzi tuushangae uongozi wa chuo.Baadhi ya mambo ambayo yanamfanya mzima yeyote na tena ambaye yuko timamu abaki mdomo wazi.Kwanza ongezeko limetangazwa wakati wanafunzi tunafanya mitihani,wakijua kwamba hatuna muda wa kuandamana na kufanya mgomo.Pili kufukuzwa kwa rais kunatokea baada ya wanafunzi kufunga chuo na kuondoka.Hii inatia mashaka sana kwa mtu mzima kama mimi.Mliopo Tumaini naomba mnithibitishie ukweli wa jambo hili.Asante kwa muda lakini badae kidogo ntaendelea kuleta habari zaidi kuhusu jambo hili.

Saturday 27 June 2009

WIMBO WA LEO


Akon(Feat. Michael Jackson)
Wimbo: HOLD MY HAND

This life don't last forever (hold my hand)
So tell me what we're waitin' for (hold my hand)
Better off being together (hold my hand)
Than being miserable alone (hold my hand)

Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight

So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold, hold my, hold my, hold my hand.

The nights are getting darker (hold my hand)
And there's no peace inside (hold my hand)
So why make our lives harder (hold my hand)
By fighting love, tonight.

Cause I've been there before
And you've been there before
But together we can be alright.
Cause when it gets dark and when it gets cold
We can just hold each other till we see the sunlight

So if you just hold my hand
Baby I promise that I'll do all I can
Things will get better if you just hold my hand
Nothing can come in between us if you just hold my hand

Thursday 11 June 2009

BAJETI YA TANZANIA 2009/10 YASOMWA LEO BUNGENI

Bajeti ni Tegemezi kwa 30%
Taasisi za kidini kuanza kulipa kodi
Walevi na wavuta sigara wazidi kubanwa
Wizara ya Elimu yapewa kipaumbele
Matumizi ya serikali yazidi kwa 30%
Mapato hayaridhishi
Wafugaji wasahauliwa
Zanzibar yapata 4.5% ya bajeti
Wananchi wajiuliza, Je, Kweli Itawasaidia
Ni Nini maoni ya wananchi na viongozi wengine kuhusu bajeti hii?


Tulisubiri tangu zamani,tangu tukisikia sera za maandalizi ya bajeti ya mwaka huu wa 2009/10 ambapo mambo mengi yalifanywa na serikali ili kuhakikisha kwamba bajeti inakwenda sambamba na matakwa ya Watanzania wote, wengi wao wakiwa masikini.Bajeti hii imesomwa leo ikiwa imeatanguliwa na hotuba ya Rais wa Jamhuri wa Muungano hapo jana alipokuwa akizungumza na wazee wa Dodoma pia watanzania wote katika ukumbi wa Kilimani ambapo jambo kubwa alilozungumza ni kuhusu madhara ya mtikisiko wa uchumi duniani.Kiufupi ni kwamba hotuba hiyo iliwavutia wengi.
Sasa turudi katika suala letu la siku ya leo,suala nyeti ambapo leo mida ya saa kumi jioni tumemshuhudia Waziri wa Uchumi Tanzania Mhe.Mustapha Haidi Mkulo akifungua mkoba na kutusomea bajeti hiyo.Tuache longolongo shuhudia mwenyewe hapo chini angalau muktasari au wazungu wanasema 'summary' ya bajeti hiyo

SEKTA -MIUNDOMBINU Sh.1.1 Bilioni Ikiwa ni ongezeko la 12%
-KILIMO Sh.667.0 Bilioni ongezeko la 30%
-MAJI/UMWAGILIAJI Sh.347.3 Bilioni ongezeko la 50%
-NISHATI/MADINI Sh.285.5 Bilioni pungufu kwa -24.6
-ELIMU Sh.1.74 Trilioni ongezeko la 22%
-AFYA Sh.963.0 Bilioni ongezeko la 5.7%

MAELEZO MENGINEYO
MAPATO YA NDANI NI SH.TRILIONI 5.1
MATUMIZI YA SERIKALI NI SH.9.5 TRILIONI-Ikiwa ni ongezeko la 30%
KUDHIBITI KUYUMBA KWA UCHUMI SH.1.7 TRILIONI
WAHISANI SH.3.8 TRILIONI
BAJETI TEGEMEZI KWA 34%
MENGINEYO 1.2 TRILIONI

MAONI YA WATU MBALIMBALI KUHUSU BAJETI HII
Profesa Ibrahim Lipumba "uwazi unahitajika katika katika ulipaji wa makampuni,tusije kupata EPA ya pili manake bajeti inaweza kupangwa halafu utekelezaji ukawa sifuri". Pia Prof.Lipumba aliongeza kwamba bajeti hii haijamzingatia mtanzania wa kawaida yaani masikini, "masikini hawafaidiki na bajeti hii badala yake mabenki ndo yatakayofaidika na bajeti hii".
Said Kubenea "Ni kweli fedha zimetengwa lakini hatuna uhakika na utekelezaji huko mawizarani,yanweza kuzaliwa 'Marichmondi'mengine huko na yakalipwa fedha hizi".
Ole Sendeka-Mbunge wa Simanjiro "inashangaza kuona kwamba bajeti imekumbuka wakulima tu,wafugaji je? Bajeti hii imewasahau kabisa wafugaji wa kawaida kama wa kule Simanjiro watafaidika nini na bajeti hii? Halafu pia inashangaza kuona hata taasisi za kidini zinatozwa kodi ya VAT,hili limetushitua wengi sana".
John Cheyo-Mbunge wa Bariadi-"suala la madini limefumbiwa macho kabisa,tuliunda tume tukatoa mapendekezo lakini hakuna hata moja lililofanyiwa kazi.Wakubwa katika migodi wameendelea kulindwa na kuogopwa na bajeti hii".
Aidha katika hali ya kushangaza taasisi za dini ambazo zimekuwa zikitoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi eti! nazo zitaanza kutozwa kodi katika baadhi ya huduma 'isipokuwa huduma za kiroho'.Hata hivyo jambo hili limewakera wengi na kushangazwa na kauli hii katika bajeti ya mwaka huu.Wengi hawajalipokea suala hili katika mtazamo chanya na wanasubiri kuona Bunge litachukua hatua gani wakati wa kujadili na kuiptisha bajeti hii wiki ijayo.Ikiwa ni hali nyingine ya kushangaza,waziri Mkulo amesema kwamba msukumo umewekwa zaidi katika kilimo wakati bajeti inaonesha kwamba ni sh.667.0 Bilioni tu zilizoelekezwa katika wizara hiyo.
Haya sasa wewe je,mwananchi wa kawaida una maoni gani kuhusiana na bajeti hii?
Je,kweli unaona itakusaidia?
Tafadhali tupe maoni yako.

Na Frank Joram
Mwandishi wa makala hii
11/06/2009

Friday 29 May 2009

Lil Wayne ,The Carter

Lil Wayne also known as "Weezy Baby" is one of the most talented, controversial and famous rappers of our time. His incredible lyrics, rhythmic songs and the unique musical versions that he brings to hip-hop and rap lovers are some of the things that characterize him and his awesome work. Much of the controversy which surrounds him is based upon the history that he has chosen to brand his body with, as you'll see below some people completely dislike this style and yet love his music which is directly reflected on the number of sales generated by his most recent album.

Lil Wayne's Tattoos





























Lil Wayne Awards

Here you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has won since the start of his career:

Award Song/Album Category

Grammy Awards 2009 Lollipop -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 A Milli -Best Rap Solo Performance
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Best Rap Album
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Ringtone Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Collabo
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -MVP Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Lyricist Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Tha Carter III -CD Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -People's Champ
BET Hip Hop Awards 2008 A Milli -Track Of The Year
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Artists Choice
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
Ozone Awards 2008 ~ -Best Rap Artist
Ozone Awards 2008 ~ -Best Lyricist
BET Awards 2008 Lollipop -Viewer's Choice Award
Ozone Awards 2007 We Takin' Over -Best Video
Ozone Awards 2007 ~ -Best Lyricist
Ozone Awards 2007 ~ -Best Male Rap Artist
Ozone Awards 2007 ~ -Mixtape Monster Award
Vibe Music Awards 2007 ~ -Best Rapper
BET Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Viewer's Choice Award
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy Attel -People's Choice Award


Lil Wayne Nominations:

Below you can view a complete and full list of all the awards Lil Wayne has been nominated for since the start of his career:

Award Song/Mixtape/Album Category

Grammy Awards 2009 Tha Carter III -Album Of The Year
Grammy Awards 2009 Swagga Like Us -Best Rap Song
Grammy Awards 2009 Mr. Carter -Best Rap Performance By A Duo Or Group
Grammy Awards 2009 Got Money -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Europe Music Awards 2008 ~ -Urban Artists
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Hustler Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 Lollipop -Track Of The Year
BET Hip Hop Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Hip-Hop Video
BET Hip Hop Awards 2008 ~ -Best Live Performer
American Music Awards 2008 ~ -Artist Of The Year
American Music Awards 2008 Tha Carter III -Favorite Hip-Hop/Rap Album
American Music Awards 2008 ~ -Favorite Male Hip-Hop/Rap Artist
Ozone Awards 2008 Duffle Bag Boy -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 Lollipop -Best Video
Ozone Awards 2008 Lollipop -Club Banger Of The Year
Ozone Awards 2008 ~ -Mixtape Monster Award
Ozone Awards 2008 ~ Trillest Award
Ozone Awards 2008 ~ Best Rap Group - Birdman
Ozone Awards 2008 ~ TJ's DJ's Hustler Award
Grammy Awards 2008 Make It Rain -Best Rap Performance By A Duo
BET Awards 2008 I'm So Hood (Remix) -Best Collaboration
Teen Choice Awards 2008 ~ -Choice Rap Artist
BET Awards 2008 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
MTV Video Music Awards 2008 Lollipop -Best Male Video
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Lyricist of the Year
BET Awards 2007 ~ -Best Male Hip-Hop Artist
Vibe Music Awards 2007 Da Drought 3 -Best Mixtape Of The Year
BET Hip Hop Awards 2007 ~ -Best Live Performance
Ozone Awards 2007 You -Best Rap/R&B Collaboration
BET Hip Hop Awards 2007 Stuntin' Like My Daddy -Best Hip Hop Collabo
Vibe Music Awards 2007 We Takin' Over -Coolest Collabo
MTV Video Music Awards 2006 -Fireman MTV2 Award
Grammy Awards 2006 Soldier -Best Rap/Sung Collaboration
MTV Video Music Awards 2005 Soldier -Best Group Video
Vibe Music Awards 2005 Soldier -Coolest Callabo
BET Awards 2005 Soldier -Best Collaboration
Source Awards 2000 ~ -Best New Artist

Thursday 28 May 2009

WIMBO WA LEO


Wimbo: Hello
Artist: Beyonce Knowles

Oh!
Oh oh, oh oh oh oh......
I love to see you
walk into the room
Body shining
lighting up the place
And when you talk,
everybody stops
Cause they know you know
just what to say
And the way that you
protect your friends
Baby, I respect you for that
And when you grow, you
take everyone you love along
I love that you don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
I want you to know

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh

I get so excited when
you travel with me
Baby, while I'm on my grind
And never would I
ever let my hustle
Come between me and
my family time
You keep me humble
out of this hype
Cause you know
there's more to life
If I need you, you will be here
You will make the sacrifice
Don't fly me away
Don't need to buy a
diamond key to unlock
my heart
You shelter my soul
You're my fire when I'm cold
Just want you to know

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh

Gotta feel you and be near you
You're the air that I
breathe to survive
Gotta hold you, wanna show you
That without you my
sun doesn't shine
You don't have to try
so hard for me to
love you
Boy, without you my life
just ain't the same
You don't have to try
so hard for me to
love you
You had me at hello!

You had me at hello Hello Hello
You had me at hello Hello Hello
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
Cause you had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh
It was many years ago
Baby when you
Stole my cool
You had me at hello Hello
Hello, oh oh oh oh oh........

Cheka Kidogo

Karibu Tumaini University at Iringa

Library

Vijia vya kuelekea kwenye vyumba vya wasichana

Vijia vya kuelekea kwenye vyumba vya wavulana

Saturday 16 May 2009

Watazeeka kwa Umbea


Narudi zangu gheto kutoka kitaani nakuta masela zangu Imma na Nick rum wanagonga traki moja hivi ya Q-Chillah inaitwa 'itabidi wazoee'. . Nilipokaa baada ya muda hapo ndani nikashangaa kuona redio inapiga wimbo mmoja tu!! Nikawauliza jamani vipi mbona mmeweka "repeat"? Nick akajibu "mwana we acha tu hili songi la ukweli si kitoto". Na kisha akaniambia kuwa anazimika zaidi na mstari flani hivi kwenye huo wimbo.Mstari wenyewe unasema hivi "watazeeka kwa umbea ya kwetu yanatunyookea".Wimbo huu umetoka si siku nyingi na unaonekana kupendwa na wengi. Nasema hivyo kwa sababu baada ya muda mfupi akaja dada mmoja hivi wa chumba opposite na cha kwetu akasema "naomba muongeze sauti alafu msifunge mlango".Nayeye nilipomuuliza anapenda mstari gani katika wimbo huo akanijibu simpo tu kwamba "ndo ivo yani itabidi wazoee tu".Hongera Q-Chief kwa wimbo wako huu ambao unaonekana kuwashika wengi .Wewe je Mdau, unasemaje kuhusu wimbo huu? Tafadhali tupe maoni yako kwa kubonyeza hapo chini.

Thursday 14 May 2009

Mwanahalisi Kumlipa Rostam Shilingi Bilioni Tatu!!!!


Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam jana iliamuru
wahariri pamoja na waandishi wa habari kumlipa Bwana
Rostam Aziz,mbunge wa Igunga kiasi cha shilingi
bilioni tatu(3bil.) ikiwa ni fidia kwa chombo hicho
cha habari kumdhalilisha bwana Rostam Azizi kwa
kuchapisha katika gazeti la Mwanahalisi habari isiyo
ya kweli na hivyo kumshushia heshima bwana Rostam Aziz.
Mwanahalisi ilichapisha habari iliyodai kwamba Rostam
Aziz ni fisadi na ni mtu mchafu katika jamii. Jaji
aliyesimamia kesi hiyo na kutoa maamuzi ni Jaji Robert
Makaramba ambaye alisema amefikia maamuzi hayo baada
ya gazeti la mwanahalisi kushindwa kutokea mahakamani kutoa ushahidi katika kutoa utetezi wake.Hata hivyo mwanasheria
wa gazeti la Mwanahalisi,Mtanzania Halisi bwana Marando
amesema kwamba tayari wameanza kuchukua hatua za awali kwa
ajili ya kukata rufaa.

Friday 8 May 2009

MANJI-"Sina Shida na Pesa za Mtu"


REGINALD MENGI

ROSTAM AZIZ

YUSUPH MANJI


Malumbano baina ya wanasiasa na wafanyabiashara kutokana na madai ya kudhalilishana yanavutia kimtindo ambapo mfanyabiashsra maarufu Yusuph Manji amefungua kesi dhidi ya bwana Mengi akidai kudhalilishwa na vyombo vya habari anavyovimiliki bwana Mengi. Hata hivyo kesi hiyo inaonekana kuvutia sana watu wengi hasa kutokana na madai ya bwana Manji kutaka alipwe shilingi moja tu(sh.1) pesa ya kitanzania."Shida yangu si pesa za mtu,ninachotaka kuona ni sheria inachukua mkondo wake na haki inatendeka".
Aidha wadau mbalimbali pamoja na wafatiliaji wa masuala ya siasa nchini wamedai kuwa hilo ni "DONGO" ama kashfa hasa kwa bwana Mengi ambaye "anajifanya kuwa ana pesa mingi" kufungua kesi zaidi ya kumi za madai ya kudhalilishwa huku akidai alipwe Bilioni moja katika kila kesi moja. Kwa mahesabu ya chapchap kama atawini kesi zote basi ana zaidi ya bilioni kumi.
"Mtu mwenye pesa kama huyu,atadaije pesa nyingi hivyo kutoka kwa waandishi na vyombo vya habari masikini?,Kwa nini asiige mfano wa "mtu mwenye pesa" Yusuph Manji ambaye kamdai Mengi shilingi moja tu?" alisikika mdau mmoja ambaye hakutaka jina lake lionekane katika blogu hii.Haya mpenzi msomaji na wewe una maoni gani kuhusu ishu hii?
Tupe maoni yako hapo chini.

Thursday 7 May 2009

Maafa yaliyotokana na mlipuko wa Mabomu Mbagala, Dar es Salaam


Wahanga wa mlipuko wa mabomu Mbagala

Baadhi ya wakazi wa Mbagala wakishangaa kipande cha bomu.


Uharibifu uliosababishwa na Mlipuko.

Thursday 30 April 2009

Jakaya


Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mhanga katika mlipuko wa mabomu Mbagala Dar es Salaam uliotokea hapo jana.

Mbunge Viti Maalum Ang'aka


Mheshimiwa Halima Mdee acharuka baada ya ripoti ya Bunge ya ukaguzi wa hesabu za serikali kuonesha kwamba kuna mchezo mchafu unaofanywa na viongozi wa serikari za mitaa pamoja na madiwani na mameya wa jiji.Serikali inapotoa fedha kwa ajili ya shughuli za maendeleo,fedha hizo zimekuwa zikitafunwa vibaya mno.Badala ya kutumia fedha vizuri,pesa zimekuwa zikichotwa kwa kiasi kikubwa kisha kiasi kidogo kilichosalia kutumika katika mradi uliokusudiwa.Mheshimiwa alitoa mfano katika Wilaya ya Monduli ambapo Milioni 34 zilitolewa na serikali kwa ajili ya kujenga nyumba ya mwalimu lakini viongozi husika walitafuta mfadhili ambaye aliijenga nyumba hiyo kwa gharama zake mwenyewe.Haijulikani hadi sasa mamilioni hayo yamekwenda wapi.

Katika hali ya kushangaza,Mheshimiwa Mdee alitoa pia mfano wa hasara iliyosababishwa na Meya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kukataa ushauri wa madiwani na kufanya maamuzi yake binafsi hali iliyoisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 800.

Mchezo huu umekuwa ukifanyika kwa kasi sana ambapo ripoti za utekelezaji zinaonesha kwamba pesa zilizotolewa zimetumika ipasavyo lakini hali ni tofauti pale ambapo miradi tajwa ilitembelewa na wanakamati hao. Mfano ripoti moja ilisema kuwa bati 70 zimetumika kujenga choo lakini kamati ilipodai kuona choo hicho ilikuta ni bati 3 tu zilizotumika kujenga choo.Wizi Mtupu!!! Mchezo huu umekuwa maarufu sana hapa kwetu Bongo,serikali kuweni makini na mchezo huu.

Monday 27 April 2009

Wimbo wa Leo

Artist: Brandy
Song: Long Distance


There`s only so many songs that i can sing to pass the time.
And i`m running out of things to do to get you off my mind (oh whoa).
All i have is this picture in a frame (oh ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be,
But we`re stuck where we are.
It`s so hard, you`re so far..
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me,
But we`re stuck where we are
It`s so hard, you`re so far.. (so hard, you`re so far..)
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
Now the minutes feel like hours
And the hours feel like days.. (whoa oh whoa)
While i`m away (way-ay)
You know right now i can`t be home (ah)
But i`m coming home soon (ah)
Coming home soon.. (ah a hah)
All i have is this picture in a frame (ah),
That i hold close to see your face everyday.
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..),
But we`re stuck where we are (oh oh).
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
This long distance is killing me.
I wish that you are here with me (you are here with me),
But we`re stuck where we are (oh oh)
It`s so hard, (oh ah) you`re so far.. (oh ah)
Can you hear me crying?
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Can you hear me crying? (oh-oh ah!)
Ooh (oh-oh oh-oh)
Ooh woo whoa ah ah oh ah (oh-oh ah!)
Uh ah uh ah whoa0h ah (oh-oh oh-oh)
With you is where i`d rather be (where i`d rather be..) whoa!
(but we`re stuck where we are) oh!
(it`s so hard) so hard (your so far), so far
(this long distance is killing me) this long distance is killing me
I wish that you are here with me (you are here with me) me..
(but we`re stuck where we are) stuck where we are! so hard! so far
This long distance is killing me
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far.
This long distance is killing me.
It`s so hard, it`s so hard, where we are, where we are, you`re so far
(so hard, so hard, where we are, where we are, your so far).
This long distance is killing me.
There`s only so many songs that i can sing to pass the time.

Vimwana katika mapozi

Mrembo Santabanta

Hali Ilivyo Huko Congo DRC

Mlimbende from India-Sayali Bhagat

LANGA

Friday 24 April 2009

Msanii wa Leo-Brandy

Artist : Brandy
Song: Piano Man




Mr. piano man
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Do you have a request book handy, i can flip through
I do, he said my name is rodney, good to meet you
What do you wanna hear tonight he asked me
He says that i can feel inside
I've got what you need know exactly, why don't we give this a try

[chorus:]

Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

He played a song filled with sadness, i believed him
Even though, we're strippin with madness, i could see it
We were lost in the music, everyone knew it
Truth was in the air tonight i could see all the faces, they thought the same
Won't you please......
Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

[bridge:]

He was going for hours, people crying showers
No one ever really telled how it is
I sang about hopeless cause everyone knows it, knows it
And it was so honest
Finally breathing some clean air, been through it and seen there
I put my star to fame
Now the spotlight was faiding, he just kept on playing
Play me a song about heartache, i promise i can sing every word
Play me a song about love lost, that's another one everyone's heard
Strike up the band
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight
We can have the whole world singing tonight (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)
Play a song for us (mr. piano man)
Play a song for love (mr. piano man)

Cheki Model

Bonge la Toto



Kaka unasemaje hapo?

Mheshimiwa Mizengo Katika Harakati za Ujenzi wa Tanzania

Mgeni Tz

Thursday 23 April 2009

Pita Mtaani kwetu Uone


Huku mtaani kwetu sufuria za ukoko hazilowekwi
kwenye maji badala yake kuna idara maalum ya
kufanya usafi.Haya yanawapata watanzania hawa
tena watoto ilhali nchi yao imejaa madini,maziwa,
bahari,mito mikubwa,mbuga za wanyama na ardhi ya
kutosha kwa kilimo.Je,watafika kweli??

Masela Tumaini


washkaji wakipata picha kabla ya kuingia
kwenye presentation ya B.A Law

Sokoni


Mitaa ya Iringa sokoni,hali ya hewa miezi kama hii inavutia watalii kutembelea mji wa Iringa na pia sehemu kama hizi ili kununua mahitaji mbalimbali.

cHEKa KiDoGO

Toto Tundu